Kenya kuanza kuunda simu za rununu mwezi agosti mwaka huu; Vituo 130 vya kuuza vileo katika kaunti ya meru vyafungwwa huku msako ukiendelezwa nchini; Wakazi wa kaunti ya lamu waombwa kushirikiana na polisi kuangamiza kundi la Alshabaab; na Kwenye rubaa za kimataifa: Rais wa ufaransa emmanuel macron aandaa kikao na baraza lake la mawaziri kujadili machafuko yanayoshuhudiwa nchini.
Matukio Ya Taifa: Kenya kuanza kuunda simu za rununu mwezi agosti
![](http://i0.wp.com/www.kbc.co.ke/wp-content/uploads/2023/07/President-William-Ruto-KICC.jpeg?resize=860%2C484&ssl=1)
- Advertisement -