Gavana wa Kaunti ya Kisumu aomba jamii za mpakani Sondu kustisha ghasia na kudumisha amani; Ajenda ya mazungumzo ya maridhiano kati ya Kenya kwanza na Azimio la umoja inatarajiwa kubainika wazi kufikia mwishoni mwa wiki hii; Wazee wa nyumba kumi waitaka serikali kuwalipa kwa kazi wanayoifanya.
Matukio ya Taifa: Wazee wa Nyumba Kumi waitaka serikali kuwalipa
![protests](http://i0.wp.com/www.kbc.co.ke/wp-content/uploads/2023/07/KINDIKI-.jpeg?resize=860%2C574&ssl=1)
- Advertisement -