Wanafunzi wa vyuo vikuu nchini sasa wataanza kupokea mgao wao wa HELB moja kwa moja kinyume na awali walivyokuwa wakizipokea kupitia vyuo vikuu; watu wasiojulikana wamevamia familia moja na kumnajisi msichana wao wa umri wa 14 katika kijiji cha Kajoro kaunti ndogo ya Namable huko Busia.
Matukio ya Taifa: Wanafunzi wa Vyuo Vikuu kupokea HELB moja kwa moja
![](http://i0.wp.com/www.kbc.co.ke/wp-content/uploads/2023/09/on-student.jpeg?resize=640%2C427&ssl=1)
- Advertisement -